na Mwandishi Wetu
Kamisaa wa Sensa Nchini Tanzania (2022), Anna Makinda amesema zoezi la Sensa ambalo limeanza leo Agosti 23, 2022 litaendelea kwa siku saba hivyo amewahasa wananchi kwa watulivu na wavumilivu.
"Zoezi hili tumeanza leo, litaendelea mpaka siku saba, kwa sababu hawa Makarani leo hii wakifanikiwa watafanya asilimia 15 tu, kwa hiyo ni siku saba, tunaomba utulivu na uvumilivu uwepo"Anna aMakinda -Kamisaa wa Sensa Tanzania.
No comments:
Post a Comment