UMUHIMU NA MALENGO YA BAJETI YENYE MRENGO WA
KIJINSIA
Bajeti yenye mtizamo wa Kijinsia ni ile ambayo inazingatia
changamoto, mahitaji na vipaumbele vya makundi yote katika jamii yakiwemo yale
ya wanaume na wanawake, wavulana na wasichana, wazee, wenye ulemavu na wasio na
ulemavu, matajiri kwa masikini, watoto wa kiume kwa wa kike, waishio mijini na
vijijini, wasomi kwa wasiosoma, wakulima kwa wafanyakazi na makundi
yanayofanana na hayo katika jamii husika.
Bajeti yenye mtazamo wa Kijinsia husaidia kufikia lengo la usawa Kijinsia. Bajeti yenye matizamo wa Kijin
sia ndio husaidia kutekeleza malengo yaliyoanzishwa katika sehemu ya
No comments:
Post a Comment