Thursday, November 24, 2022

HIZI HAPA CHANGAMOTO ZA UPANGAJI NA UTEKELEZAJI WA BAJETI YENYE MRENGO WA KIJINSIA

 


Mwezeshaji wa Mafunzo Deo Temba akitoa mafunzo kuhusu changamoto zinazokwamisha  na namna ya kukabiliana na changamoto kwenye upangaji wa Bajeti yenye Mrengo wa Kijinsia kwa Madiwani,  maafisa Mipango na Bajeti, Maendeleo ya Jamii na Waratibu wa madawati ya Jinsia kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, wawakilishi kutoka ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Halmshauri za wilaya ya Kishapu, Mbeya, Kasulu, Morogoro, Tarime, Same, Muheza na Moshi. Kwa Dar es salaam kuna washiriki kutoka manispaa za ubungo, Kinondoni, Ilala na Temeke.
Mchumi kutoka Manispaa ya Kinondoni Mwantumu Magumbo akitolea ufafanuzi kuhusu mapendekezo ya kukabiliana na changamoto zinazokwamisha upangaji na Utekelezaji wa Bajeti yenye mrengo wa kijinsia ikiwemo manispaa hiyo kubuni vyanzo zaidi vya mapato ili kuweza kupata pesa kwa ajili ya masuala ya masuala ya maendeleo ya kijamii, ushirikishwaji wa wadau ili kufanya uchechemuzi wa masula ya Kijinsia kwenye Manispaa hiyo pamoja na Serikali kuweka msisitizo kwenye masuala ya jinsia kama ilivyo kwenye masuala mengine ya Kitaifa wakati wa warsha ya Madiwani, Maafisa Mipango na Bajeti pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka katika Harmashauri mbalimbali za hapa nchini inayofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Shells iliyopo jijini Dar es Salaam.
Afisa Mipango na Uratibu kutoka Halmashauri ya Kasulu Adili Mlowe akielezea changamoto wanazopitia kwenye wilaya hiyo kuhusu upangaji na Utekelezaji wa Bajeti yenye Mrengo wa Kijinsia ikiwemo ukosefu wa elumu kuhusu masuala yenye mrengo wa Kijinsia, Utashi wa kisiasa kwani kila mwanasiasa anakuwa na viupaumbele vyake vinavyopekelea kutozingatia upangaji na utekelezaji wa Bajeti yenye mlengo wa kijinsia wakati wa warsha ya Madiwani, Maafisa Mipango na Bajeti pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka katika Harmashauri mbalimbali za hapa nchini inayofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Shells iliyopo jijini Dar es Salaam.
Afisa Mipango kutoka Halmashauri ya Morogoro Vijijini Hamisi Mwambe changamoto zinazokwamisha upangaji na Utekelezaji wa Bajeti yenye Mrengo wa Kijinsia kama vile uelewa mdogo kuhusu upangaji wa Bajeti yenye mrengo wa kijinsia, Idara ya maendeleo ya jamii kutokupewa kiupaumbele katika upangaji wa bajeti pamoja na idara zoe mtambuka kutotenga bajeti yenye mrengo wa kijinsia wakati wa warsha ya Madiwani, Maafisa Mipango na Bajeti pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka katika Harmashauri mbalimbali za hapa nchini inayofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Shells iliyopo jijini Dar es Salaam.
Afisa Maendeleo kutoka Jiji la Dar es Salaam Judith Kihampa akiwasilisha changamoto zinazokwamisha na mapendekezo ya kukabiliana na Changamoto kwenye upangaji na Utekelezaji wa Bajeti yenye Mrengo wa Kijinsia ambapo changamoto alizoziwasilisha kwenye Jiji hilo ni  kukosa mwongozo maalum unaoelekeza kuhusu upangaji wa Bajeti yenye mrengo wa Kijinsia, ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kuibua viupaumbele vya pamoja na Ufinyu wa Bajeti kwenye Idara ya Maendeleo ya Jamii inayopelekea kutokutekeleza baadhi ya Shughuli  za kijamii ikiwemo mafunzo kwa jamii ili kutambua Bajeti yenye mrengo wa kijinsia wakati wa warsha ya Madiwani, Maafisa Mipango na Bajeti pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka katika Harmashauri mbalimbali za hapa nchini inayofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Shells iliyopo jijini Dar es Salaam.
Kaimu Afisa Maendeleo wa Halmashauri ya  Muheza Erick Nehemiah akitolea ufafanuzi kuhusu changamoto zinazokwamisha upangaji na Utekelezaji wa Bajeti yenye Mrengo wa Kijinsia ikiwa ni ufinyu wa bajeti unaotokana na mapato hafifu ya Halmshauri hiyo, Uhaba wa watumishi pamoja na kuwa na viupambele vingi vinavyopelekea kushindwa kutekeleza bajeti kwa kuzingatia mrengo wa kijinsia  wakati wa warsha ya Madiwani, Maafisa Mipango na Bajeti pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka katika Harmashauri mbalimbali za hapa nchini inayofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Shells iliyopo jijini Dar es Salaam.
Afisa Mipango kutoka Halmashauri ya Mbeya Vijijini Wazidi Mahenge akieleza kuhusu mapendekezo ya kukabiliana na changamoto za zinazokwamisha upangaji na utekelezaji wa Bajeti yenye mrengo wa Kijinsia ikiwa ni pamoja na viongozi kupewa elimu juu y umuhimu wa Bajeti yenye mrengo wa Kijinsia, usawa wa kijinisia kwenye uandaaji wa kamati zinazofanya maanuzi  pamoja na idara za maendeleo ya jamii na ustawi wa jamii kuongezewa bajeti ili kuweza kufanya kazi yenye ufanisi wakati wa warsha ya Madiwani, Maafisa Mipango na Bajeti pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka katika Harmashauri mbalimbali za hapa nchini inayofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Shells iliyopo jijini Dar es Salaam.
Afisa Mipango wa Halmashauri ya Same Elisha Kapama akiwasilisha mapendekezo ya kukabiliana na changamoto za zinazokwamisha upangaji na utekelezaji wa Bajeti yenye mrengo wa Kijinsia ikiwemo ushirikishwaji wa kutekeleza miradi yenye mrengo wa kijnsia, utoaji wa elimu zaidi yenye mrengo wa kijinsia pamoja na kuendelea kufanya ushawishi kwa serikali kuleta fedha kwa ajili ya miradi yenye mrengo wa kijinsia wakati wa warsha ya Madiwani, Maafisa Mipango na Bajeti pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka katika Harmashauri mbalimbali za hapa nchini inayofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Shells iliyopo jijini Dar es Salaam.
Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka Halmashauri ya Kishapu Ibrahim Sakulia akiwasilisha mada kuhusu changamoto zinazokwamisha upangaji na Utekelezaji kama vile ufinyu wa Bajeti, Baadhi ya jamii kutojua masuala ya kijinsia pamoja na kutotweka kiupaumbele kuhusu masuala ya kijinsia wakati wa upangaji wa bajeti wakati wa warsha ya Madiwani, Maafisa Mipango na Bajeti pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka katika Harmashauri mbalimbali za hapa nchini inayofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Shells iliyopo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Madiwani, Maafisa Mipango na Bajeti pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka katika Harmashauri mbalimbali za hapa nchini wakichangia mada kuhusu changamoto zinazokwamisha upangaji na Utekelezaji wa Bajeti yenye Mrengo wa Kijinsia iliyoandaliwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) na kufanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Shells iliyopo jijini Dar es Salaam.

Tuesday, November 22, 2022

TGNP YATOA YA MAFUNZO UANDAAJI WA BAJETI YENYE MRENGO WA KIJINSIA

 



Mwezeshaji wa Mafunzo Deo Temba akiwasilisha mada kuhusu Uandaaji wa Bajeti kwa Mrengo wa Kijinsia kwa maafisa mipango na bajeti, maendeleo ya jamii na waratibu wa madawati ya jinsia kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, wawakilishi kutoka ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Halmshauri za wilaya ya Kishapu, Mbeya, Kasulu, Morogoro, Tarime, Same, Muheza na Moshi. Kwa Dar es salaam kuna washiriki kutoka manispaa za ubungo, Kinondoni, Ilala na Temeke.
Afisa Programu Idara ya Mafunzo kutoka Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Anna Sangai akizungumza kuhusu namna Mtandao huo unavyofanya kazi na jamii hasa kwenye uandaaji wa Bajeti yenye mrengo wa Kijinsia wakati wa warsha ya Madiwani, Maafisa Mipango na Bajeti pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka katika Harmashauri mbalimbali za hapa nchini inayofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Shells iliyopo jijini Dar es Salaam.
Mhadhili wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Dkt. Lihoya Chamwali akitoa mada kuhusu namna wanavyoweza kuweka usawa wakjinsia pamoja na kuweka bajeti yenye mlengo wa kijinsia kwa Wataalam wa Bajeti za Halmashauri ambao ni Maafisa Mipango na Bajeti pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii pamoja na Madiwani kutoka katika Harmashauri mbalimbali za hapa nchini leo tarehe Novemba 22, 2022.
Baadhi ya Madiwani, Maafisa Mipango na Bajeti pamoja na Maafisa Maendeleo ya Jamii kutoka katika Harmashauri mbalimbali za hapa nchini wakichangia mada kwenye warsha ya kuwajengea uwezo kuhusu Bajeti yenye mlengo wa jinsia inayofanyika kwa siku nne jijini Dar es Salaam.
Semina ikiendelea 

Ubungo DC: District councils should work hard to end GBV at community level

 

Ubungo District Commissioner, Hon. Kheri James today participated in the opening of the Technical meeting and Capacity Building session on Gender Responsive Budgeting(GRB) and Gender Mainstreaming to Councillors and District Council officials from Shinyanga, Mbeya, Morogoro, Mara, Kigoma, Kilimanjaro and Dar es Salaam.





During the session, he announced the concrete actions that Tanzania is taking to GRB which includes a 3.6 billion shillings girls School in Dar ea Salaam. He reaffirmed GRB brings growth to the economy if GBV by-laws, unpaid care work, Gender-Based Violence in Schools, Homes and the nation at large will continue to be taken into account to prevent a roll back of hard fought Social and economic progress for women and marginalised groups.
A non Gender Responsive Budget is celebrating victory victory for some while others are in pai

Africa loses 95$ billion per year due to Gender inequality,


By  Jamii Voice Media Reporter

"The 2016 Africa Human Development report states that Africa loses 95$ billion per year due to Gender inequality, "TGNP Executive Director, Lilian Liundi. She drew attention that major efforts have been conducted by the councils and district councils including boarding Schools for girls, sanitary napkins provision and maternity care improvement. These are major steps to a journey of a thousand miles since women and marginalised groups are disproportionately represented in the national budget. It is imperative that all budgets reflect the advances of Gender Responsive Budgeting.



Women and marginalised groups have been on the sidelines over the years but the 6th regime has been working to make this a story of the past. This involved Tanzania becoming a partner of Generation Equality Forum and the new decree of the Gender Based Violence agenda to be included in all council and district council meetings.




The session brought to attention that Gender Mainstreaming and GRB is the propeller to development in the nation.